1 Chronicles 23:6-11
6 aDaudi akawagawa Walawi katika makundi kufuatana na wana wa Lawi: Gershoni, Kohathi na Merari.Wagershoni
7 Wana wa Wagershoni walikuwa wawili:
Ladani na Shimei.
8 Wana wa Ladani walikuwa watatu:
Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.
9 Wana wa Shimei walikuwa watatu:
Shelomothi, ▼
▼ Yaani Shelomithi; maana yake ni Mpenda amani.
Hazieli na Harani.Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.
10 Nao wana wa Shimei walikuwa wanne:
Yahathi, Zina, ▼
▼ Tafsiri zingine zinamwita Ziza.
Yeushi na Beria.11Yahathi alikuwa wa kwanza na Ziza wa pili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; kwa hiyo walihesabiwa kama jamaa moja, wakapewa wajibu kwa pamoja.
Copyright information for
SwhKC